Michezo Kikosi cha Stars kitakachomenyana na Rwanda By Judith Ene Laizer - October 4, 2019 0 1174 Share FacebookTwitterWhatsAppLinkedin Majina ya Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Soka (Taifa Stars) yaliyotajwa na Kaimu Kocha Mkuu wa timu hiyo, – Etienne Ndayiragile, kumenyana na Rwanda katika mchezo wa kirafiki Oktoba 14 mwaka huu.