Michezo Aussems kocha bora wa mwezi Septemba By Judith Ene Laizer - October 4, 2019 0 1097 Share FacebookTwitterWhatsAppLinkedin Kocha wa timu ya Simba ya jijini Dar es salaam, -Patrick Aussems, amechaguliwa kuwa Kocha bora wa mwezi Septemba wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu wa 2019/20.