Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. JOYCE NDALICHAKO amesema Tanzania ina dhamira ya dhati ya kuhakikisha inaondoa fikra potofu kuhusiana na masuala ya kijinsia.
Waziri Prof. NDALICHAKO ameyasema hayo jijni DSM alipomuwakilisha makamu wa Rais SAMIA SULUHU HASSAN katika ufunguzi wa Semina ya Kimataifa ya kuwajengea uwezo vijana wa kike wa GIRL GUIDES katika masuala ya Uongozi.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.
