KimataifaKitaifa Rais afanya ziara DRC By Adrina mariki - August 18, 2022 0 187 Share FacebookTwitterWhatsAppLinkedin Rais Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo Félix Tshisekedi , wakipokea gwaride rasmi alipowasili Ikulu jijini Kinshasa kuanza ziara rasmi ya siku moja.