Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan leo amefanya ziara katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Simiyu akiongozana na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ili kujionea hali ya utoaji huduma za Afya katika hospitali hiyo.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan leo amefanya ziara katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Simiyu akiongozana na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ili kujionea hali ya utoaji huduma za Afya katika hospitali hiyo.
