Madereva pikipiki maarufu Bodaboda wako hatarini kuugua magonjwa ya
mfumo wa upumuaji ambayo yanaweza kusababisha kupata ugonjwa wa moyo.
Akizungumza mkoani Kigoma, Mganga Mkuu wa mkoa huo Dkt, Paul Chaote amewataja madereva hao ni wale ambao hawavai kofia ngumu, na vifaa vinginge vya kukinga Kifua na mgongo.
Dkt.Chaote amesema madhara hayo si ya moja kwa moja bali yanatokea
baada ya kupita kipindi kirefu kwa madereva wa aina hiyo.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.
