Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe amezungumza na Balozi wa Misri nchini Mohamed Gaber Abulwafa na ugeni wake kutoka Misri, walipokutana jijini Dar es salaam.
Ugeni huo ni Wawekezaji wa sekta ya michezo kutoka Misri, ambao wanatarajia kujenga maeneo makubwa ya michezo mbalimbali (Sports Arena) hapa nchini.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.
