Al Shabaab wadai wamelipiza kisasi shambulio nchini Kenya

0
835

Wapiganaji wa kikundi cha Al Shabaab cha nchini Somalia wanadai kuwa shambulio la kigaidi walilotekeleza mjini Nairobi, mwishoni mwa wiki ilikuwa ni hatua ya kulipiza kisasi kwa serikali ya Israel.

Wapiganaji hao wanasema wamekasirishwa na hatua ya serikali ya Israel kuhamishia mji wake mkuu mjini Jerusalem, kutoka mjini Tel Aviv, mji unaothaminiwa na mataifa ya Palestina na Israel.