
Rais Samia Suluhu Hassan akikagua jengo la Makumbusho la Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, Chato mkoani Geita tarehe 15 Oktoba, 2022.

Rais Samia Suluhu Hassan akiomba dua kwenye kaburi la Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli Chato mkoani Geita tarehe 15 Oktoba, 2022.

