Michezo Arsenal waitungua Manchester United 2-0 By Hamis Hollela - January 1, 2020 0 436 Share FacebookTwitterWhatsAppLinkedin Washika bunduki wa London wameitandika Manchester United mabao mawili kwa nunge katika mchezo wa ligi kuu England Magoli ya Arsenal yakifungwa mapema kabisa na Pepe dakika ya 8 na Sokratis dakika ya 42